KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, August 8, 2013

YANGA YAIKANDAMIZA 3 PILLARS YA NIGERIA ( kutoka Salehjembe blog)

TIMU ya Yanga leo imeikandamiza bao 1-0 timu ya 3 Pillars kutoka nchini Nigeria katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 

Bao la mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara limefungwa na mshambuliaji aliyesajiliwa kutoka Mtibwa Sugar, Hussein Javu kipindi cha kwanza.
(PICHA NA RICHARD BUKOS)

No comments:

Post a Comment