KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, January 24, 2014

Ligi kuu Tanzania bara: Ratiba, msimamo na wafungaji wanaoongoza kabla ya duru la pili kuanza kesho

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza kesho (Januari 25 mwaka huu) kwa mechi nne zitakazochezwa katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam na Tanga.



Mabingwa watetezi Yanga watakuwa wageni wa Ashanti United kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati kwenye jiji hilo hilo Uwanja wa Azam Complex kutakuwa na mechi kati ya wenyeji Azam FC na Mtibwa Sugar kutoka Morogoro.



Coastal Union na Oljoro JKT zitaumana kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Kagera Sugar ikiikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.



Raundi ya 14 ya ligi hiyo itaendelea Jumapili (Januari 26 mwaka huu) kwa mechi mbili. Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam utakuwa shuhuda wa mechi kati ya Simba na Rhino Rangers kutoka Tabora wakati maafande wa JKT Ruvu na Mgambo Shooting watapambana Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.


 Msimamo wa ligi kabla ya ligi hiyo kuanza kesho

Rank
Teams
Played Wins Draw Lost GD Goal score Points
1 Yanga SC 13 8 4 1 20 31 28
2 Azam FC 13 7 6 0 13 23 27
3 Mbeya City 13 7 6 0 9 19 27
4 Simba SC 13 6 6 1 13 26 24
5 Mtibwa Sugar 13 5 5 3 2 19 20
6 Kagera Sugar 13 5 5 3 5 15 20
7 Ruvu Shooting 13 4 5 4 0 15 17
8 Coastal Union 13 3 7 3 3 10 16
9 JKT Ruvu 13 5 0 8 -6 10 15
10 Rhino Rangers 13 2 5 6 -7 9 11
11 JKT Oljoro 13 2 4 7 -10 9 10
12 Ashanti UTD 13 2 4 7 -12 12 10
13 Prisons FC 13 1 6 6 -10 6 9
14 Mgambo Shooting 13 1 3 9 -20 3 6


 Wafungaji wanao ongoza kwa kufunga magoli kabla ya kesho

 10- Tambwe Amisi (Simba)
9- Elias Maguri (Ruvu Shooting)
 8- Hamis Kiiza (Yanga), Juma Luizio (Mtibwa Sugar)
7- Kipre Tchetche (Azam)
6- Themi Felix (Kagera Sugar)
5- Tumba Sued (Ashanti Utd), Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa (Yanga)
4- Peter Michael (Prisons), Jerry Santo (Coastal Union), Jerry Tegete (Yanga), Betram Mombeki (Simba), Bakar Kondo (JKT Ruvu)
3- Haruna Chanongo, Jonas Mkude (Simba), Paul Nonga (Mbeya City), Salum Machaku (JKT Ruvu), Jerry Santo (Coastal Union),  Mcha Khamis (Azam),
Amir Omary (Oljoro), Ramadhani Singano (Simba)
2- Haruna Moshi, Crispian Odulla (Coastal Union), Saady Kipanga (Rhino Rangers), Mwagani Yeya, Jeremiah John, Peter Mapunda,(Mbeya City), Godfrey Wambura (Kagera Sugar), Shaibu Nayopa (JKT Oljoro), Joseph Kimwaga (Azam), Shaaban Nditti, Shaaban Kisiga (Mtibwa Sugar), Said Dilunga (Ruvu Shooting)
1- Abdi Banda, Danny Lyanga (Coastal Union), Henry Joseph, Joseph Owino, Gilbert Kazze (Simba), Haruna Niyonzima, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Frank Dumayo, Mbuyi Twitte, Oscar Joshua (Yanga), Iman Joel, Salum Majid, Mwalimu Musuku, Kamana Salum, Hussein Abdallah, Abbas Mohammed (Rhino Rangers), Gaudence Mwaikimba, Seif Abdallah,  Aggrey Morris,  John Bocco, Faridi Maliki, Hamphrey Mieno, Salum Abubakar, Erasto Nyoni (Azam), Steven Mazanda, Richard Peter, Deo Deus  (Mbeya City), Laurian Mpalile (Prisons-OG), Shaaban Susan, Jerome Lembeli, Cosmas Ader  (Ruvu Shooting), Masoud Ally, Salim Mbonde (Mtibwa Sugar), Shaaban Juma, Anthony Matangalu, Paul Maono(OG), Samir Luhava (OG), John Matei, Mwinyi Ally, Hussein Sued, Said Maulid (Ashanti Utd), Abdallah Bunu, Emmanuel Switta, Amos Mgisa (JKT Ruvu), Fully Maganga, Hamis Msafiri (Mgambo JKT), Seleman Kibuta, Daud Jumanne, Maregesi Marwa, Clement Douglas, Salum Kanoni (Kagera Sugar), Paul Malipesa, Expedito Kidulo, Nurdin Mohammed, Fikiri Mohammed (Oljoro JKT)

No comments:

Post a Comment