Wasifu wa mshambuliaji mpya wa Yanga aliyeletwa na kocha mpya wa klabu hiyo Marcio Maximo Andrey Marcel Ferreira Coutinho haueleweki kwani hakuna data za hivi karibuni zaidi ya kuonyesha tarehe ya kuzaliwa na klabu yake ya mwisho kuichezea ni Paysandu ya Seria C mwaka 2011.
Ukiingia tovuti ya 'The players Agent' kinachoonekana ni kwamba hajawahi kuingia mkataba na klabu yoyote duniani zaidi ya kuwa mchezaji wa ridhaa katika klabu ya Paysandu ya Seria C huko nchini Brazil mwaka 2011.
Hiki ndicho kinachoonekana
Date of birth: 12 Jan 1990
Nationality: Brazil
Nationality: Brazil
Player details
Name: | Andrey Marcel Ferreira Coutinho |
---|---|
Birthday: | 12 Jan 1990 / 24 years old |
Nationality: | Brazil |
Last contract: | No data available |
Height / Weight: | No data available |
Position: | |
Foots: | Right |
Career
From | Club | Contracts |
---|---|---|
Jul 2011 | Paysandu ( Brazil ) |
No professional contracts entered |
Pia amepitia klabu nyingine ya Taubate ambayo mchezo wa mwisho kuichezea klabu hiyo ilikuwa ni mwezi Machi katika mchezo dhidi ya Novorizontino ambayo timu yake ilifungwa bao 5-3.
Chini ni michezo aliyocheza kuanzia 2011 mpaka Machi mwaka huu.
Afisa Haari wa Young Africans Bw Baraka Kizuguto (kushoto) akiwa pamoja na mshambuliaji mpya Andrey Coutinho mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa JK Nyerer leo |
No comments:
Post a Comment